PICHA;UTALII WA NDANI-Wanahabari Mkoa wa Njombe Walivyofanya Ziara ya Kitalii Mchuchuma kwenye Makaa ya mawe.

   Wandishi wa habari wakiwa katika eneo la Mchuchuma,aliyeshika kaa la jiwe ni Mwandishi wa kituo cha Redio Kings Fm Erasto Paul.

Waandishi wa habari kutoka Njombe Press Club wametembelea eneo la Mchuchuma lililopo wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe na kujionea hazina kubwa ya makaa ya mawe yaliyogundulika wilayani humo

Aidha imebainika kuwa madini hayo yapo kwa wingi katika wilaya hiyo na uchimbaji wake unatarajiwa kulinufaisha taifa kwa kuingiza kipato cha serikali pamoja na wananchi 

Angalia Picha hizi:-

  Katibu wa Njombe Press Club Khamis Kasapa na Mhasibu wake ambaye ni meneja wa kituo cha Redio Kings Fm Emilia Msafiri wakiwa wameshika Makaa ya mawe .
Mwandishi wa Star Tv Furaha Eliabu.
Mwandishi kutoka Uplands Fm
Mwanahabari Michael Katona anawakilisha Gazeti la Uhuru na Mzalendo
 Yalipo sehemu tu ya Makaa ya mawe yanayoonekana juu ya ardhi
 Wanahabari wakiendelea kuyaangalia makaa ya mawe
 Muonekano wa makaa ya mawe
Mwandishi wa Star Tv Furaha Eliabu aliyeshika mkaa wa jiwe na mwenyekiti wa Njombe Press Club Nickson Mahundi.
PICHA;UTALII WA NDANI-Wanahabari Mkoa wa Njombe Walivyofanya Ziara ya Kitalii Mchuchuma kwenye Makaa ya mawe. PICHA;UTALII WA NDANI-Wanahabari Mkoa wa Njombe Walivyofanya Ziara ya Kitalii Mchuchuma kwenye Makaa ya mawe. Reviewed by Erasto Paul on October 17, 2017 Rating: 5

No comments:

Thank you for commenting to Mwanauswahili

Powered by Blogger.