Ngeleja: Fedha za Escrow zimenisononesha na kunifadhaisha



Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja amesema  katika kipindi cha zaidi ya miaka 12 akiwa kiongozi wa umma hakuwahi kukumbwa na kashfa yoyote ya rushwa na ufisadi.
Ameyasema hayo leo Jumatatu, Julai 10 wakati akitangaza uamuzi wake wa kurudisha Sh 40.4 milioni fedha za mgawo wa Escrow alizozipokea kutoka kwa mfanyabiashara James Rugemalira.
Amesema amerudisha fedha hizo kwa kuwa amesononeka na kufadhaika baada ya kuona msaada aliopewa unahusishwa na tuhuma.
Kuhusu kuchelewa kurudisha fedha hizo baada ya Rugemalira kutuhumiwa, Ngeleja amesema alishindwa kufanya hivyo mapema kwa kuwa haikuthibitishwa kama mfanyabiashara huyo ana kashfa.
Ngeleja: Fedha za Escrow zimenisononesha na kunifadhaisha Ngeleja: Fedha za Escrow zimenisononesha na kunifadhaisha Reviewed by Erasto Paul on July 10, 2017 Rating: 5

No comments:

Thank you for commenting to Mwanauswahili

Powered by Blogger.