Msanii wa muziki Diamond Platnum Juamosi hii amefanya sherehe ya
arobaini ya mwanaye Nillan ambapo kwa mara ya kwanza, mtoto huyo
ameoneshwa sura hadharani katika sherehe ya aina yake, iliyofanyika
nyumbani kwao, Madale jijini Dar es Salaam.
Diamond na familia yake
Nillan alizaliwa nchini Afrika Kusini, yalipo makazi ya mwanamama Zari na tangu kuzaliwa kwake, hakuwahi kuoneshwa sura hadharani hata siku moja mpaka siku ya arobaini yake.
Tazama baadhi ya picha na video hapa chini jinsi ilivyokuwa
Diamond na familia yake
Nillan alizaliwa nchini Afrika Kusini, yalipo makazi ya mwanamama Zari na tangu kuzaliwa kwake, hakuwahi kuoneshwa sura hadharani hata siku moja mpaka siku ya arobaini yake.
Tazama baadhi ya picha na video hapa chini jinsi ilivyokuwa
Bongo5.com
Video/Picha: 40 ya mtoto wa Diamond yafana
Reviewed by Erasto Paul
on
February 12, 2017
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili