Ni katika sakata la kupambana na madawana madawaya kulevya
ambapo walijitokeza watoto hawa na kusimulia vile ambavyo wamekuwa
wakishiriki katika matumizi ya madawa ya kulevya na changamoto walizo
kumbana nazo pamoja na hali ya afya zao kwa sasa.
Watoto hawa ambao wanalelewa na kituo kimoja cha REHAB wamefunguka mbele ya RC Makonda na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, namna ambavyo waliinguizwa kwenye matumizi hayo ilihali wakiwa watoto na kujikuta wanapoteza mwelekeo wa maisha… wasikie mwenyewe.
Watoto hawa ambao wanalelewa na kituo kimoja cha REHAB wamefunguka mbele ya RC Makonda na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, namna ambavyo waliinguizwa kwenye matumizi hayo ilihali wakiwa watoto na kujikuta wanapoteza mwelekeo wa maisha… wasikie mwenyewe.
Video: Inasikitisha; Watoto Hawa Walivyoingizwa Kwenye Matumizi ya ‘Unga’
Reviewed by Erasto Paul
on
February 14, 2017
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili