MBUNGE wa Jimbo la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete ametupia picha mtandaoni ikimuonesha akiwa nyumba
kwake huku akitimiza majukumu yake ya malezi na upendo kwa mwanaye yeye
akiwa kama baba mzazi.
Ridhiwani ameonekana akimtengeneza nywele binti yake na kutupia picha hiyoa akisindikiza na maneno haya Instagram
Kwa namna moja ama nyingine jambo hilo
ni la kuigwa kwani Ridhiwani kupitia picha maneno aliyoandika
amewahimiza baba wengine kuwa karibu na watoto wao na kuwasaidia vitu
vidogo vidogo wanavyovihitaji kutoka kwa wazazi wao hasa wa kiume ili
kuhakikisha wanakuwa katika malezi yaliyo bora na wafikie malengo yao.
Tupia Comment Yako, Matusi Hapana
Haya Ndiyo Anayoyafanya Mbunge Ridhiwani Kikwete Akiwa Nyumbani
Reviewed by Erasto Paul
on
January 24, 2017
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili