Vikongwe Wafanya Ibada Kusherehekea Miaka 60 ya Ndoa Yao

dsc_3817-001Padre wa Kanisda Katoriki, Parokia ya Roho Mtakatifu, Kiwanja cha Ndege, Mjini Morogoro, Fr. Melkades Mogella (kushoto) akiongoza ibada ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutimiza miaka 60 ya wanandoa hao. (Waliosimama kushoto).dsc_3832-001Fr. Melkades Mogella akiendelea kuongoza ibada hiyo iliyofanyika nyumbani kwa wanandoa hao, Mtaa wa Mawenzi mjini Miorogoro.
dsc_3826-001    Wanandoa hao wakiwa kwenye pozi wakati wa hafla hiyo.dsc_3838-001 
…Wakisali sala mara baada ya kupokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu.dsc_3862-001Fr. Melkades Mogella akipokea pete na kuzibaliki kwa ajili ya wanandoa hao kuvishana.
dsc_3863-001
dsc_3865-001
dsc_3867-001Mama akimvisha pete mumewe.
dsc_3833-001Fr. Melkades Mogella akiwapongeza wanandoa hao baada kumalizika kwa ibada ya kutimiza miaka 60 ya ndoa yao.
dsc_3819-001
dsc_3835-001Wageni waalikwa wakiwapongeza wanandoa hao.
dsc_3836-001 
Moja ya vitukuu vya wanandoa hao akiwapongeza wazee.

PICHA: NA DUSTAN SHEKIDELE/ GPL MOROGORO
Vikongwe Wafanya Ibada Kusherehekea Miaka 60 ya Ndoa Yao Vikongwe Wafanya Ibada Kusherehekea Miaka 60 ya Ndoa Yao Reviewed by Erasto Paul on December 02, 2016 Rating: 5

No comments:

Thank you for commenting to Mwanauswahili

Powered by Blogger.