Mchezaji wa klabu ya Simba SC ambaye anacheza nafasi ya beki wa pembeni Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’ hatiamye amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na nusu katika klabu ya Simba ambao utamalizika mwaka 2019.
Hapa chini Mchezaji Mohammed Hussein akisaini mkataba mpya akiwa na Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva

Hapa chini Mchezaji Mohammed Hussein akisaini mkataba mpya akiwa na Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva
Hatimaye Mohammed Hussein amalizana na klabu ya Simba SC
Reviewed by Erasto Paul
on
November 25, 2016
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili