Tanzania ya poromoka katika viwango vya soka duniani

Viwango vya ubora wa Soka duniani vilivyotolewa na FIFA, Tanzania imeshuka kwa nafasi 16, kutoka nafasi ya 144 na sasa inashika nafasi ya 160.
 img_7468



Katika bara la Afrika, Tanzania inakamata nafasi ya 48 huku Argentina ikiendelea kuongoza katika viwango hivyo kwa Dunia.
Tanzania ya poromoka katika viwango vya soka duniani Tanzania ya poromoka katika viwango vya soka duniani Reviewed by Erasto Paul on November 25, 2016 Rating: 5

No comments:

Thank you for commenting to Mwanauswahili

Powered by Blogger.