PM: Naujua umaskini, nimeuza maziwa na furu.



 
Rais John Magufuli, amesema ataendelea kuwatetea Watanzania maskini na wenye kipato cha chini kwa sababu hata yeye ameishi maisha duni.
Magufuli ameyasema hayo leo Jumatatu, Julai 10 wilayani Chato wakati wa uzinduzi wa nyumba 50 zilizojengwa na Taasisi ya Mkapa Foundation.
“Nimeuza maziwa, nimeuza furu, nimechunga ng’ombe. Sitaki nisahahu nilipotoka, sitaki nisahau maisha ya Watanzania, sitaki Watanzania wenye maisha ya chini waonewe,” amesema. 
PM: Naujua umaskini, nimeuza maziwa na furu. PM: Naujua umaskini, nimeuza maziwa na furu. Reviewed by Erasto Paul on July 10, 2017 Rating: 5

No comments:

Thank you for commenting to Mwanauswahili

Powered by Blogger.