Mmiliki wa kiota cha Villa Park cha mjini Makambako, Kizito,
amepoteza maisha kwenye ajali mbaya ya gari iliyotokea Jumapili usiku.
Ajali hiyo inadaiwa kutokea Morogoro. Inasemekana alikuwa na mpenzi wake ambaye kutokana na mwili wake kusagika vibaya alishindwa kufahamika mara moja.
Kizito alikuwa akitoka kwenye mechi ya mpira kati ya Njombe na Kurugenzi na ajali ilitokea saa nane usiku.
Ajali hiyo inadaiwa kutokea Morogoro. Inasemekana alikuwa na mpenzi wake ambaye kutokana na mwili wake kusagika vibaya alishindwa kufahamika mara moja.
Kizito alikuwa akitoka kwenye mechi ya mpira kati ya Njombe na Kurugenzi na ajali ilitokea saa nane usiku.
Mmiliki wa Villa Park Makambako afariki kwa ajali mbaya akiwa na mpenzi wake.
Reviewed by Erasto Paul
on
February 20, 2017
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili