Mchezaji wa klabu ya Arsenal na kiungo wa kimataifa wa Hispania, Santi Cazorla atafanyiwa upasuaji katika kifundo cha mguu wake wa kulia na hivyo atakaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu.

Cazorla ambaye anamiaka 31, aliumia katika ushindi wa 6-0 wa mechi ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Ludogorets kwenye uwanja wa Emirates Oktoba 19.
Taarifa iliyo tolewa na klabu ya Arsenal imesema kuwa mchezaji huyo atasafiri wiki ijayo kuelekea nchini Sweden kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji huo.
Cazorla ambaye anamiaka 31, aliumia katika ushindi wa 6-0 wa mechi ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Ludogorets kwenye uwanja wa Emirates Oktoba 19.
Taarifa iliyo tolewa na klabu ya Arsenal imesema kuwa mchezaji huyo atasafiri wiki ijayo kuelekea nchini Sweden kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji huo.
Taarifa mbaya kwa mashabiki wa Arsenal kuhusu Cazorla
Reviewed by Erasto Paul
on
December 02, 2016
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili