MATUKIO MANNE YA KUHUDHUNISHA AJALI YA NDEGE

Baada ya kuona tukio hili la Amerika Kusini kutokea ajali ya ndege ambapo wachezaji wamefariki katika tukio hilo la simanzi lakini sio la kwanza kutokea yapo matukio mengi makubwa ambayo kupitia Mtembezi.com tunakupatia manne makubwa kati ya yote yalitokea ili ukumbuke , wakati mwingine matukio kama haya yanatukumbusha uwepo wa Mungu hivyo tureje kwake kwa mema.diooo

1.1993 

Mwaka huo ulikuwa mwaka wa aina yake na mwaka ambao kwa Bara la Afrika ulikuwa wa majonzi sana haswa baada ya kutokea ajali ya Ndege ya jirani zetu Zambia ambapo walikuwa wanaelekea Senegal kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia wakitumia ndege ya kijeshi. Msafara wa watu 30 wakiwemo wachezaji 18 na ‘staff’ 12 walipoteza maisha ila wachezaji 2 ambao walikuwa wanacheza nje walipanga kusafiri na usafiri mwingine ndio waliopona. Na mmoja ya waliye nusurika alikuwa Kalusha Bwalya ambapo ndio Rais wa shirikisho la soka Zambia.aaka001327

2.1958

Februari 6, 1958, Uingereza ilikuwa katika majonzi ilifanya jaribio lake la tatu  baada ya kufunikwa wakitokea  Munich-Riem Uwanja wa Ndege wa Munich, Ujerumani Magharibi. Ndege ilikuwa ya timu yasoka ya Manchester United  pamoja na idadi ya wafuasi na waandishi wa habari. 23 na watu 44.

munichaircrash

3.1987

Mwaka mwingine huo ambao unahistoria mbaya kwa nchi ya Peru baada ya kupata ajali ya Ndege baada ya ndege aina ya Navy Fokker F27-400M kuingia katika bahari ya Pacific kama maili 6 na kupoteza wote waliokuwemo ndani yake ambapo walikuwa watu 44.fokkerande1972

4.1980

Kwa upande wa masumbwi sasa nao walipata ajali ikiwa  machi 14 mwaka 1980 tukio hilo lilisababishwa na ndege kushindwa kwa mitambo ya ndege hiyo na watu zaidi ya 87 kupoteza maisha katika tukio hilo.

yes

MATUKIO MANNE YA KUHUDHUNISHA AJALI YA NDEGE MATUKIO MANNE YA KUHUDHUNISHA AJALI YA NDEGE Reviewed by Erasto Paul on November 30, 2016 Rating: 5

No comments:

Thank you for commenting to Mwanauswahili

Powered by Blogger.