
Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Njombe,Benedict Kitongwa(kulia)akimkabidhi mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/-Alto Mdenye(katikati)alizojishindia kupitia Promosheni ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili Mteja aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu,Anaeshuhudia kushoto ni Meneja wa Benki ya NMB Njombe,Aloycius Shija.

Meneja wa Benki ya NMB Njombe,Aloycius Shija, Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/-Alto Mdenye(katikati) wakifurahia jambo pamoja na Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Njombe,Benedict Kitongwa,Wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa kitita chake alichojishindia kupitia Promosheni ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili Mteja aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
ALTO MDENYE MSHINDI WA TUSUA MAPENE YA VODACOM TANZANIA KUTOKA NJOMBE
 Reviewed by Erasto Paul
        on 
        
September 05, 2017
 
        Rating:
 
        Reviewed by Erasto Paul
        on 
        
September 05, 2017
 
        Rating: 
       Reviewed by Erasto Paul
        on 
        
September 05, 2017
 
        Rating:
 
        Reviewed by Erasto Paul
        on 
        
September 05, 2017
 
        Rating: 
 
 
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili