Jumamosi hii Diamond Platnumz na dancers wake, akishirikiana na wasanii wengine akiwemo Mohombi na Lumino, walitumbuiza kwenye ufunguzi wa kombe la AFCON 2017 nchini Gabon. Tazama video hiyo chini.
Show ya Diamond AFCON 2017 Iikuwa noma.
Reviewed by Erasto Paul
on
January 16, 2017
Rating:
No comments:
Thank you for commenting to Mwanauswahili